Maktaba ya Mwezi: March 2025

TUIDUMISHE AMANI KWA KUSHIRIKI UCHAGUZI – SALIM MZEE SEIFU

Salim Mzee Seifu amepongeza mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, akieleza jinsi ambavyo huduma za elimu, maji na miundombinu ya barabara zimeboreshwa kwa kiwango kikubwa katika mji wa Sumbawanga. Amesema maendeleo haya yanaonesha dhamira ya kweli ya serikali katika kuinua maisha ya …

Soma zaidi »

KAMPENI YA “NO REFORMS NO ELECTION” INAMPANGO WA KUIPENDELEA TEAM – ELISHA ASA MWAMBENE

Elisha Asa Mwambene, Katibu wa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Mtaa wa Msasani, Tunduma, Mkoa wa Songwe, ameibua mjadala mzito kuhusu kampeni ya “No Reforms No Election” inayoendeshwa na Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Tundu Lissu. Kupitia mahojiano na wanahabari, Elisha amesema vijana wengi Tunduma wameshindwa kuelewa lengo hasa …

Soma zaidi »

WANAOHAMSISHA KUSUSIA UCHAGUZI WAULIZENI FAMILIA ZAO ZIKO WAPI? OSCAR EDGAR EMBEDODO

Mkazi wa Manispaa ya Sumbawanga, Mkoa wa Rukwa, Oscar Edgar Embedodo, ametahadharisha wananchi wa Sumbawanga na Watanzania kwa ujumla juu ya hatari ya kushawishiwa kususia uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025. Amesema kuwa ushawishi huo si wa kawaida, bali ni kiashiria cha mpango wa kuvuruga amani ya nchi kwa maslahi binafsi …

Soma zaidi »

UCHAGUZI NI HAKI YA KIKATIBA, SIYO KWA MAELEKEZO YA MAKU

Mzee Shila Hailele Mponda, mkazi wa Jimbo la Tunduma, ameibua hoja nzito dhidi ya kampeni ya “No Reforms No Election” inayoendeshwa na kikundi cha Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu. Mzee Shila ameeleza kuwa tayari wanasiasa wa CHADEMA kutoka jimbo lao, akiwemo aliyekuwa Mbunge Frank Mwakajoka na mwanasiasa kijana Boniface …

Soma zaidi »