MAZINGIRA

KIUMA Yageuza Taka za Plastiki kuwa Ajira na Tumaini Karagwe

VIJANA KAZINI, MAZINGIRA SALAMA: Na Mwandishi Wetu Katika kipindi ambacho changamoto za ajira na uchafuzi wa mazingira zimekuwa zikiongezeka, kikundi cha vijana cha KIUMA kutoka wilayani Karagwe kimeibuka kama mfano halisi wa ubunifu, uthubutu na matumaini mapya kwa vijana wa Tanzania. Kikundi hiki kilianzishwa mwaka 2023 na vijana waliodhamiria kuchukua hatua dhidi ya taka …

Soma zaidi »

NEMC kupitia wanamichezo wake wanaoshiriki mashindano ya SHIMMUTA 2025 mkoani Morogoro na kauli mbiu “π‘΄π’Šπ’„π’‰π’†π’›π’ π’π’Š π‘¨π’‡π’šπ’‚, π‘΄π’‚π’›π’Šπ’π’ˆπ’Šπ’“π’‚ π’π’Š π‘Όπ’‰π’‚π’Š” wameshiriki zoezi la kufanya usafi uwanja wa Jamhuri Morogoro siku ya kufunga mashindano hayo Disemba 6, 2025.

Soma zaidi »