Usikose kutazama, kujifunza na kuwa sehemu ya mabadiliko chanya ya kijani. Bonyeza Subscribe, Like na Share ili ujumbe huu uwafikie Watanzania wote. #MazingiraKwanza #KelvinLyimo #CloudsMedia #EnvironmentalSummitTanzania #TanzaniaYaKijani
Soma zaidi »“VITA ZA SILAHA ZAPUNGUA, SASA NI VITA DHIDI YA MABADILIKO YA TABIANCHI” – ENG. CYPRIAN LUHEMEJA
Katika hotuba yake ya kugusa moyo kwenye Maonyesho ya Sabasaba 2025, Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Eng. Cyprian Luhemeja, ametahadharisha kuwa dunia imeingia kwenye sura mpya ya mapambano – si tena kwa kutumia silaha, bali dhidi ya athari za mabadiliko ya tabianchi. Amesema janga hili linagusa kila …
Soma zaidi »ENG. CYPRIAN LUHEMEJA AFURAHISHWA NA HAMASA YA MAZINGIRA SABASABA 2025
Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Eng. Cyprian Luhemeja, ameonesha kufurahishwa na namna taasisi mbalimbali zimeipa kipaumbele ajenda ya mazingira katika Maonyesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara ya Sabasaba. Akiwa katika ziara ya kutembelea mabanda, Eng. Luhemeja amesema kuwa karibu kila banda alilopita limeweka mbele elimu, suluhisho …
Soma zaidi »MAZINGIRA NI NINI? – ENG. CYPRIAN LUHEMEJA ATOA UFANUZI WA KINA NDANI YA SABASABA 2025
KONGAMANO LA KITAIFA LA KUJENGEWA UELEWA JUU YA ATHARI ZA SAUTI ZILIZOZIDI KATIKA NYUMBA ZA IBADA
Ni kongamano lililoandaliwa na Jumuiya ya Maridhiano ya Amani Tanzania kwa Kushirikiana na Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC).
Soma zaidi »LIVE: 🌿 TANZANIA GREEN SUMMIT 2025 | Kuijenga Tanzania Kijani kwa Maendeleo Endelevu
JE, HALI YA USAFI WA MAZINGIRA NA UDHIBITI WA TAKA NCHINI TANZANIA INARIDHISHA?
Je, Tanzania inafanya vya kutosha kuhakikisha usafi wa mazingira na kudhibiti taka mijini na vijijini? Katika video hii, tunachambua kwa kina hali ya sasa ya usafi wa mazingira nchini — kuanzia ukusanyaji na usafirishaji wa taka, hadi juhudi za serikali, halmashauri na wananchi katika kuhakikisha mazingira safi na salama kwa …
Soma zaidi »SWALA LA USIMAMIZI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA , NI KIPAUMBELE KATIKA MAENDELEO YA NCHI YETU.
“Kila mmoja wetu ana jukumu la kutunza mazingira — iwe ni kwa kupanda miti, kutupa taka sehemu sahihi, au kushiriki kampeni za kijani. Mazingira bora ni msingi wa maisha bora!” Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 🔔 Subscribe kwa maudhui mengine yanayolenga …
Soma zaidi »TUNAHITAJI SANA ELIMU KWA JAMII ZETU KATIKA SWALA LA MAZINGIRA🌿
Mabadiliko ya tabianchi, uharibifu wa vyanzo vya maji, ukataji wa miti, na ongezeko la uchafuzi wa mazingira ni changamoto zinazotishia ustawi wa kizazi cha sasa na kijacho. Umuhimu wa kutunza mazingira katika maisha ya kila siku Namna elimu ya mazingira inaweza kusaidia kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi Jinsi jamii …
Soma zaidi »HILI NI JIJI LA MFANO KATIKA UTUNZAJI WA MAZINGIRA – Mhe. Rosemary S. Senyamule
💬 Toa maoni yako: Unadhani miji mingine inajifunza nini kutoka Dodoma? 👍 Like | 🔁 Share | 🔔 Subscribe kwa taarifa zaidi za maendeleo nchini Tanzania! #Dodoma #Mazingira #SafiNaKijani #RosemarySenyamule #TanzaniaYaKijani #UsafiNaUtunzajiMazigira #MaendeleoEndelevu
Soma zaidi »