WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

MSLAC YAGUSA NGUZO ZA JAMII SONGEA-ELIMU YA KISHERIA KWA VIONGOZI NA VIJANA 1200

LIVE kutoka Songea, Ruvuma, ambako Kampeni ya Mama Samia Legal Aid Campaign (MSLAC) inaendelea kutoa elimu ya kisheria kwa viongozi wa serikali za mitaa, wajumbe wa mashina, vijana, na wananchi wa kawaida. Katika tukio hili la kihistoria, wananchi wanapata maarifa kuhusu: Haki za kiraia na kijamii Mbinu mbadala za utatuzi …

Soma zaidi »

SERIKALI YAZIDI KUWAGUSA WANANCHI, KWA UZINDUZI WA MIRADI NA USAMBAZAJI ELIMU YA MSAADA WA KISHERIA

Katika safari ya kuwaletea wananchi maendeleo ya kweli na haki kwa wote, Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia Wizara ya Katiba na Sheria chini ya Waziri Dkt. Damas Ndumbaro, yazindua miradi ya maji safi na salama pamoja na kusambaza elimu ya msaada wa kisheria …

Soma zaidi »

πŸ…»πŸ…ΈπŸ†…πŸ…΄ :πŸ”΄ BUNGE LA KUMI NA MBILI, MKUTANO WA KUMI NA TISA KIKAO CHA KUMI NA TANO, 30 APRILI 2025

Leo tarehe 30/04/2025, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepokea Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka wa fedha 2025/2026. Katika hotuba hii muhimu, Waziri wa Katiba na Sheria anawasilisha mipango, mafanikio, changamoto na makadirio ya bajeti kwa mwaka ujao wa fedha, kwa lengo la …

Soma zaidi »

πŸ…»πŸ…ΈπŸ†…πŸ…΄ :πŸ”΄DKT. NDUMBARO AKIWASILISHA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA 2025/2026 BUNGENI

Tarehe 30 Aprili 2025, Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro, amewasili katika Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma na kuwasilisha rasmi Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara yake kwa mwaka wa fedha 2025/2026. Katika hotuba yake, Dkt. Ndumbaro ameeleza vipaumbele vya wizara, mafanikio yaliyofikiwa, na mikakati ya …

Soma zaidi »

WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA AKAGUA KAMPASI YA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM MKOANI KAGERA

Katika tukio la kihistoria mkoani Kagera, Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro, ameongoza uzinduzi wa Kampasi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, hatua muhimu ya kupeleka elimu ya juu karibu zaidi na wananchi wa Kanda ya Ziwa. Tukio hili limechukua sura ya kipekee baada ya wananchi …

Soma zaidi »