MIUNDOMBINU

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Tanzania ina umeme wa kutosha hatua ambayo imechangiwa na kukamilika kwa Miradi mikubwa ya uzalishaji umeme ukiwemo Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP) ambao pekee unazalisha Megawati 2115

Naibu Waziri Mkuu ameyasema hayo Julai 10, 2025 wakati wa ziara yake ya kukagua maendeleo ya miradi ya kuzalisha umeme kwa gesi asilia katika vituo vya Kinyerezi I, Kinyerezi I Extension na Kinyerezi II ambapo amesema licha ya kazi kubwa inayofanywa na TANESCO yapo baadhi ya maeneo yalikua na changamoto …

Soma zaidi »

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa safarini kutoka Dar es Salaam kuelekea Jijini Dodoma tarehe 26 Juni, 2025. Pamoja na mambo mengine kesho Mhe. Rais Dkt. Samia atahutubia na kuhitimisha shughuli za Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Soma zaidi »

RAIS SAMIA AFUNGUA DARAJA LA JP MAGUFULI – HISTORIA YANDIKWA UPYA ZIWA VICTORIA

Tarehe 19 Juni 2025, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, alifungua rasmi Daraja la JP Magufuli (Kigongo–Busisi) lenye urefu wa kilomita 3.0, pamoja na barabara unganishi zenye urefu wa kilomita 1.66 katika mkoa wa Mwanza. Hii ni hatua ya kihistoria na ya kimkakati katika …

Soma zaidi »

RAIS SAMIA ASISITIZA MAENDELEO SHIRIKISHI BUSIGA – ASHIRIKISHA WANANCHI KATIKA UTEKELEZAJI WA KATIBA

Katika hotuba yake kwa Wananchi wa Wilaya ya Busega, Mkoa wa Simiyu tarehe 19 Juni 2025, Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, alitekeleza moja ya wajibu wake wa kikatiba chini ya Ibara ya 33(2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka …

Soma zaidi »

RAIS SAMIA AFUNGUA DARAJA LA JP MAGUFULI – HISTORIA YANDIKWA UPYA ZIWA VICTORIA

Tarehe 19 Juni 2025, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, alifungua rasmi Daraja la JP Magufuli (Kigongo–Busisi) lenye urefu wa kilomita 3.0, pamoja na barabara unganishi zenye urefu wa kilomita 1.66 katika mkoa wa Mwanza. Hii ni hatua ya kihistoria na ya kimkakati katika …

Soma zaidi »

RAIS SAMIA ASISITIZA MAENDELEO SHIRIKISHI BUSIGA – ASHIRIKISHA WANANCHI KATIKA UTEKELEZAJI WA KATIBA

Katika hotuba yake kwa Wananchi wa Wilaya ya Busega, Mkoa wa Simiyu tarehe 19 Juni 2025, Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, alitekeleza moja ya wajibu wake wa kikatiba chini ya Ibara ya 33(2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka …

Soma zaidi »

MAOMBI NA NDOTO ZA MAGUFULI ZATIMIA

Mkoani Mwanza – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo anazindua rasmi Daraja la Kigongo–Busisi, mradi mkubwa uliokuwa ndoto ya Hayati Dkt. John Pombe Magufuli. Daraja hilo, ambalo ujenzi wake ulianza rasmi chini ya utawala wa Magufuli, limekamilika kikamilifu chini ya uongozi wa Rais …

Soma zaidi »

MAMA SAMIA NA DARAJA LA BUSISI

Mama yetu, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameandika historia nyingine kwa kukamilisha na uzinduzi wake rasmi leo ambapo Daraja la Busisi moja ya miundombinu mikubwa na ya kihistoria nchini Tanzania. Daraja hili linaunganisha mikoa ya Mwanza na Geita kupitia Ziwa Victoria, likiwa na urefu wa zaidi ya kilomita 3.2, na …

Soma zaidi »