#ijuesheria #section4wakilitv #chadema #bungelive #ijuesheria #section4wakilitv #chadema #chademamedia #tls #tundulissu #tls #mwabukusi #uchaguzimkuu2025 #uchaguzi #uchaguzimkuu
Soma zaidi »π »π Έπ π ΄ :π΄ BUNGE LA KUMI NA MBILI, MKUTANO WA KUMI NA TISA KIKAO CHA KUMI NA TANO, 30 APRILI 2025
Leo tarehe 30/04/2025, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepokea Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka wa fedha 2025/2026. Katika hotuba hii muhimu, Waziri wa Katiba na Sheria anawasilisha mipango, mafanikio, changamoto na makadirio ya bajeti kwa mwaka ujao wa fedha, kwa lengo la …
Soma zaidi »WAZIRI MKUU ASHIRIKI KIKAO CHA BUNGE
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Aprili 8, 2025 ameshiriki Kikao cha Kwanza cha Mkutano wa Kumi na Tisa wa Bunge jijini Dodoma.
Soma zaidi »YALIYOONEKANA KUWA MAGUMU YAMEWEZEKANA KWA RAIS SAMIA- NAIBU SPIKA MUSSA AZAN ZUNGU
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mussa Azan Zungu kwaniaba ya Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson leo Machi 17, 2025 amesema ndani ya miezi minne ya Rais Samia Suluhu Hassan mambo mengo yaliyokuwa yameshindikana yamefanyika ikiwemo maandalizi na uzinduzi wa sera ya Ardhi ya …
Soma zaidi »TAZAMA LIVE: MKUTANO WA 5 WA SERIKALI MTANDAO β MAPINDUZI YA KIDIJITALI TANZANIA.
TAZAMA LIVE: MKUTANO WA TANO WA SERIKALI MTANDAO Karibu ufuatilie moja kwa moja Mkutano wa Tano wa Serikali Mtandao, tukio muhimu linaloangazia teknolojia za kidijitali katika kuboresha utoaji wa huduma za umma, uwazi, na uwajibikaji serikalini. Mkutano huu unaleta pamoja wataalamu wa teknolojia, viongozi wa serikali, na wadau mbalimbali wanaojadili …
Soma zaidi »LIVE: BUNGE LA 12 MKUTANO WA 18 | KIKAO CHA 10 | TAREHE 10 FEBRUARI 2025 – YALIYOJIRI ASUBUHI!
πΊ LIVE: Bunge la 12 | Mkutano wa 18 | Kikao cha 10 | Tarehe 10 Februari, 2025 | Asubuhi Karibu kwenye matangazo ya moja kwa moja ya Kikao cha 10 cha Mkutano wa 18 wa Bunge la 12! Leo, wabunge wako tayari kujadili na kupitisha maamuzi muhimu yanayogusa maendeleo …
Soma zaidi »Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka watendaji wote Serikalini wahakikishe vipaumbele vilivyoanishwa kwenye Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2025/2026 vinatafsiriwa vema kwenye mipango ya Taasisi zao
Amesema mpango huo umejikita katika kuendeleza na kukamilisha utekelezaji wa afua zinazotoa matokeo ya maeneo matano ya kipaumbele ya Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano. Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Ijumaa, Novemba 8, 2024) wakati akiahirisha Mkutano wa 17 wa Bunge la 12 Bungeni jijini Dodoma, …
Soma zaidi »Tanzania Yapiga Hatua Kubwa katika Miradi ya Maji, Zaidi ya Miradi 1,500 Yakamilika Vijijini na Mijini.
Tanzania imefanya maendeleo makubwa katika miradi ya maji, na hadi sasa, miradi mingi imekamilika ili kuboresha upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi katika maeneo mbalimbali. Hapa kuna takwimu na taarifa za baadhi ya miradi ya maji iliyokamilika. Miradi ya Maji Vijijini: Zaidi ya miradi 1,500 imekamilika katika vijiji, …
Soma zaidi »Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amefungua na kushiriki hafla ya kumbukizi ya miaka mitano ya Women’s Health Talk Event iliyofanyika katika Hoteli ya Hyatt Regency Mkoani Dar es Salaam
Pamoja na mambo mengine, Dkt. Tulia amewasisitiza washiriki wa hafla hiyo kushiriki katika Uchaguzi wa Serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024 ili kupata Viongozi sahihi kwa maslahi ya taifa.
Soma zaidi »“Ni kwa namna gani ujenzi wa shule umechangia kuboresha mazingira ya elimu na kukuza vipaji?
“Ninapenda kutoa shukrani za dhati kwa serikali yetu chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan na Mheshimiwa Mbunge Jenista Mhagama kwa jitihada kubwa walizoweka katika ujenzi wa shule yetu. Ujenzi huu umekuwa neema kwa sisi wanafunzi, kwani umeboresha mazingira yetu ya kujifunza. Tunajivunia pia kushirikishwa katika Tamasha la Utamaduni …
Soma zaidi »