Maktaba ya Kila Siku: March 31, 2025
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Waumini wa Dini ya Kiislamu pamoja na wageni mbalimbali kwenye Baraza la Eid El Fitr ambalo Kitaifa limefanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akijumika na waisalamu wengine kusali swala ya Eid katika kukamilisha ibada ya Mfungo wa Ramadhan katika Msikiti wa Mohamed VI uliopo katika Makao Makuu ya BAKWATA Kinondoni Jijini Dar kwa ajili ya kuswali Swala ya Eid El Fitr
ARUSHA IMEFUNGUKA.
TEMBELEA , HIFADHI ZA TAIFA NA HAPA NI NYUMBANI.
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+