Salim Mzee Seifu amepongeza mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, akieleza jinsi ambavyo huduma za elimu, maji na miundombinu ya barabara zimeboreshwa kwa kiwango kikubwa katika mji wa Sumbawanga.
Amesema maendeleo haya yanaonesha dhamira ya kweli ya serikali katika kuinua maisha ya wananchi.
Seifu amewataka wananchi wa Sumbawanga kupuuza chokochoko na maneno ya watu wasiopenda amani, na badala yake wajitokeze kwa wingi kujiandikisha na kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 kwa amani na utulivu.
#Kazinaututunasongambele #Sisinitaanzania
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+