WIZARA YA ARDHI

RAIS SAMIA AONYA WATUMISHI WA WIZARA YA ARDHI DHIDI YA RUSHWA

“Hatutavumilia Wanaokwamisha Haki za Wananchi” Dodoma, Machi 17, 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa onyo kali kwa watumishi wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi wanaojihusisha na vitendo vya rushwa, akisisitiza kuwa serikali haitawavumilia wahujumu wa haki za wananchi. …

Soma zaidi »

NAIBU WAZIRI DKT MABULA AITAKA CHEMBA KUANZA MKAKATI WA KUANDAA MPANGO KABAMBE

Na Munir Shemweta, CHEMBA Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula ameitaka halmashauri ya wilaya ya Chemba mkoani Dodoma kuanza mikakati ya kuandaa Mpango Kabambe katika halamashauri hiyo. Dkt Mabula alisema hayo tarehe 21 Septemba 2021 wakati wa ziara yake ya kukagua utendaji kazi wa …

Soma zaidi »