Maktaba ya Mwezi: February 2025

ZAHANATI YA SHULE YA WASICHANA TANGA NI MFANO WA KUIGWA.

Zahanati iliyopo katika Shule ya Wasichana imeleta mchango mkubwa katika utoaji wa huduma za afya kwa wasichana na jamii kwa ujumla. Hatua hii ni matokeo ya juhudi za pamoja kati ya serikali kuboresha sekta ya elimu na afya. Rais Samia ameonyesha msaada wake wa dhati kwa sekta ya afya kwa …

Soma zaidi »

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpangoakimfariji Bi. Kovambo Nujoma ambaye ni mjane wa aliyekuwa Rais wa Kwanza na Baba wa Taifa la Namibia hayati Dkt. Sam Nujoma wakati wa Maombolezo ya Kitaifa yaliyofanyika katika Uwanja wa Michezo wa Uhuru Jijini Windhoek nchini Namibia leo tarehe 28 Februari 2025

Soma zaidi »

RAIS DKT. SAMIA AMWAGA NEEMA KWA WAVUVI MKOANI TANGA, BOTI ZA KISASA 35 ZA GAWIWA KWA WANANCHI

Tarehe 26.02.2025 Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akiendelea na ziara yake ya kikazi Mkoani Tanga amegawa boti 35 zenye thamani ya shilingi bilioni 4.47 kwa wavuvi wa Wilaya ya Pangani ikiwa ni awamu ya pili kwa Rais Mhe. Dkt. Samia kutoa boti kwa wavuvi Mkoani Tanga. Boti hizo zina uwezo …

Soma zaidi »

RAIS SAMIA UFUNGUA KIWANDA CHA SARUJI NA CHOKAA PHASE TWO CHA MAWENI LIMESTONE LTD

Katika hatua nyingine, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameweka historia kwa kufungua rasmi Kiwanda cha Saruji na Chokaa cha Maweni Limestone kilichopo Jijini Tanga. Uwekezaji huu mkubwa unalenga kuchochea ukuaji wa sekta ya viwanda nchini, sambamba na dhamira ya serikali ya kuirejesha Tanga katika hadhi yake kama kitovu cha viwanda …

Soma zaidi »

MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIHUTUBIA WANANCHI UWANJA WA MKWAKWANI TANGA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIHUTUBIA WANANCHI UWANJA WA MKWAKWANI TANGA Usikose! KUsubscribe channel yetu kwa updates #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya

Soma zaidi »

MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIHUTUBIA WANANCHI UWANJA WA MKWAKWANI TANGA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIHUTUBIA WANANCHI UWANJA WA MKWAKWANI TANGA Usikose! KUsubscribe channel yetu kwa updates #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya

Soma zaidi »

MHE: DKT SAMIA AWAPATIA MITUNGI YA GESI WANANCHI WA MUHEZA.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezindua kampeni ya kutoa mitungi ya gesi kwa wananchi wa Muheza, ikiwa ni hatua muhimu katika kuimarisha matumizi ya nishati safi. Akizungumza katika hafla hiyo, Mhe. Rais alisisitiza umuhimu wa nishati safi katika kuboresha maisha ya wananchi na …

Soma zaidi »