Tanzania MpyA+

NEMC kupitia wanamichezo wake wanaoshiriki mashindano ya SHIMMUTA 2025 mkoani Morogoro na kauli mbiu “π‘΄π’Šπ’„π’‰π’†π’›π’ π’π’Š π‘¨π’‡π’šπ’‚, π‘΄π’‚π’›π’Šπ’π’ˆπ’Šπ’“π’‚ π’π’Š π‘Όπ’‰π’‚π’Š” wameshiriki zoezi la kufanya usafi uwanja wa Jamhuri Morogoro siku ya kufunga mashindano hayo Disemba 6, 2025.

Soma zaidi »

RAIS DKT. SAMIA AKIZINDUA TUME HURU YA UCHUNGUZI WA MATUKIO YA UCHAGUZI MKUU, 2025

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezindua Tume Huru ya Kufanya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjiifu wa Amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2025. Uzinduzi huu umefanyika Ikulu Chamwino, Dodoma, tarehe 20 Novemba 2025.

Soma zaidi »