Mazingira yetu na Tanzania Ijayo Tuwajibike Sasa, Dhibiti Matumizi ya Plastiki
Soma zaidi »JE KUNA UKWELI KATIKA USEMI WA MAZINGIRA NI UHAI?
“Mazingira ni Uhai” na kueleza maana yake katika maisha ya kila siku. Je, ni kweli kwamba bila mazingira bora hakuna maisha? Tunazungumzia uhusiano wa moja kwa moja kati ya mazingira safi na afya ya binadamu, uchumi endelevu, na maendeleo ya jamii. π Mambo muhimu utakayojifunza: Umuhimu wa maji safi, hewa …
Soma zaidi »JE, HII NDIO ALAMA KUU YA UZALENDO NA URITHI WA WANAMWANZA?
πΆ Tazama mandhari ya kuvutia ya fukwe, visiwa, na shughuli za kijamii zinazolifanya Ziwa Victoria kuwa moyo wa Mwanza na Tanzania nzima. π Je, nawe unaliona Ziwa Victoria kama utambulisho wa Taifa? Tuambie maoni yako kwenye comment! #ZiwaVictoria #Mwanza #UrithiWaTanzania #FahariYaMwanza #ZiwaLetuSautiYetU #TanzaniaYangu
Soma zaidi »USIKILIZWAJI WA KESI YA TUNDU LISSU KATIKA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU, DAR ES SALAAM
π »π Έπ π ΄ :π΄ MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIPOKEA TUZO MAALUM KUTOKA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
#ijuesheria ijuesheria #ijuesheria #section4wakilitv #bunge #ijuesheria #section4wakilitv #bunge #bungenidodoma #chadema #chademamedia #tls #tundulissu #tls #mwabukusi #uchaguzimkuu2025 #uchaguzi #uchaguzimkuu
Soma zaidi »π HOTUBA YA KIHISTORIA YA RAIS SAMIA , TUZO MAALUM KUTOKA BUNGE LA TANZANIA πΉπΏ
TANZANIA NA JAPAN ZASAINI MAKUBALIANO YA BIASHARA YA KABONI
Utiaji saini umefanyika Tokyo, Japan ambapo Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliongozwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni na Serikali ya Japan ikiongozwa na Waziri wa Mazingira, Mhe. Asao Keiichiro(Kei)
Soma zaidi »USHINDI VITA DHIDI YA KILIMO CHA MIRUNGI TANZANIA
Mafunzo hayo yaliyohudhuriwa na washiriki zaidi ya 80 ikiwemo kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya ya Same, Madiwani, watumishi wa Halmashauri, Watendaji ngazi ya Kata, Vijiji na Vitongoji ambapo mgeni rasmi katika mafunzo hayo alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Same Mhe. Kasilda Mgeni.
Soma zaidi »π »π Έπ π ΄ :π΄ MHE. RAIS DKT. SAMIA AKISHIRIKI MKUTANO MKUU CCM (SIKU YA PILI)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu akishiriki Mkutano Mkuu Chama cha Mapinduzi CCM siku ya pili Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre Dodoma, leo tarehe 30 Mei, 2025. #ijuesheria #ijuesheria #section4wakilitv #bunge #ijuesheria #section4wakilitv #bunge #bungenidodoma #chadema #chademamedia #tls #tundulissu #tls #mwabukusi #uchaguzimkuu2025 #uchaguzi #uchaguzimkuu
Soma zaidi »Suluhu ya Kukabiliana na Kilimo cha Mirungi yapatikana Wilayani Same ikiongozwa na Mamlaka (DCEA)
DCEA yataja njia sahihi za kukabiliana na adhari zitokanazo na dawa za kulevya_ PCCB na Sekretariati ya MAADILI ya viongozi wa umma yasisitiza uwajibikaji kwa Watendaji na viongozi ngazi ya Wilaya hadi Vitongoji wa umma Halmashauri Same yaainisha mazao mbadala katika kukabiliana na kilimo cha Mirungi Mamlaka ya Kudhibiti na …
Soma zaidi »