TEMBELEA , HIFADHI ZA TAIFA NA HAPA NI NYUMBANI.
Soma zaidi »UZINDUZI WA KAMPENI YA KITAIFA YA MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIA: MKOANI ARUSHA
HOTUBA YA MAKONDA ILIYOWALIZA WANANCHI MPAKA MACHOZI: UZINDUZI WA KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA.
Hotuba hii ya Paul Makonda imewagusa wengi kwa kina! π Katika uzinduzi wa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria, Makonda amezungumza kwa hisia kali kuhusu haki, uonevu, na umuhimu wa msaada wa kisheria kwa wananchi wasio na uwezo wa kupata uwakilishi wa kisheria. π€ Katika hotuba hii, utashuhudia: β …
Soma zaidi »FUTARI YA PAMOJA MKOANI ARUSHA – SISI NI NDUGU
RC. MAKONDA , AANDAA FUTARI YA PAMOJA MKOANI ARUSHA , IKIWA NA NIA YA KUWAWEKA PAMOJA WANANCHI KAMA NDUGU
Soma zaidi »Kata ya oldadai, kijiji cha oldadai,Elimu ya msaada wa kisheria ilitolewa kwa wananchi kuhusu umuhimu wa kuandika mirathi,kupinga ukatili wa kijinsia na njia sahihi ya kuepuka migogoro ya aridhi
#kazinaututunasongambele#sisinitanzania#matokeochanya#katibanasheria#nchiyangukwanza#kaziiendelee#SSH#MSLAC @SuluhuSamia @matokeochanya @MsLACampaign @sisiniTanzania @NCHIYANGUT @Sheria_Katiba
Soma zaidi »π BILIONI 300 ZAJENGA UWANJA WA MICHEZO ARUSHA β MAKONDA AMSHUKURU RAIS SAMIA
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Makonda, amepongeza juhudi za Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa bilioni 300 kwa ajili ya ujenzi wa uwanja wa michezo mkoani Arusha. Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Makonda alieleza kuwa uwanja huu utakuwa chachu ya maendeleo ya michezo, kuinua vipaji …
Soma zaidi »π »π Έπ π ΄ π΄ SIKU YA NNE: WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA AENDELEA KUTOA HUDUMA ZA MSAADA WA KISHERIA – ARUSHA
#SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya
Soma zaidi »ZAIDI YA WATU LAKI NNE KUSHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI JIJINI ARUSHA
Arusha, Machi 1, 2025 β Meya wa Jiji la Arusha, Mhe. Maximilian, ametangaza kuwa zaidi ya watu laki nne wanatarajiwa kushiriki katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yatakayofanyika jijini Arusha. Akizungumza na waandishi wa habari leo, Mhe. Maximilian amesema maandalizi yanaendelea vizuri, huku jiji likijiandaa kupokea wageni …
Soma zaidi »SHIRIKA LA NYUMBA TANZANIA KUJENGA NYUMBA ZA KISASA JIJINI ARUSHA
LAND ROVER YA MBAO YA WADUDU WA CHUGA YAVUTIA WENGI
Land Rover ya Wadudu wa Chuga imevutia umati mkubwa kwenye #ArushaLandRoverFestival2024. Tukio hili lilifanyika kuadhimisha urithi wa kipekee wa Land Rover na mchango wake katika sekta ya magari duniani. Land Rover maarufu ya “Wadudu wa Chuga,” gari la kipekee linalotumiwa na wenyeji wa maeneo ya Arusha, liliwashangaza wengi kutokana na …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+