Katika mazungumzo yao, Rais Dkt. Samia ameishukuru UNICEF kwa mchango wake katika masuala mbalimbali ikiwemo afya, elimu na lishe kwa watoto pamoja na afya ya msingi. Ikulu Chamwino mkoani Dodoma
Soma zaidi »Maktaba ya Kila Siku: March 11, 2025
MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIFUNGUA MKUTANO MKUU WA 39 WA ALAT- DODOMA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akifungua Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa (ALAT) Ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma, leo tarehe 11 Machi, 2025. Usikose! KUsubscribe channel yetu kwa updates #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya
Soma zaidi »MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIFUNGUA MKUTANO MKUU WA 39 WA ALAT- DODOMA.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akifungua Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa (ALAT) Ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma, leo tarehe 11 Machi, 2025. Usikose! KUsubscribe channel yetu kwa updates #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya
Soma zaidi »MHE. DKT. SAMIA SULUHU: MAFANIKIO MAKUBWA YA UONGOZI WAKE TANZANIA!
HATUA ZA UJENZI WA MRADI WA MAJI WA SAME-MWANGA-KOROGWE ULIOZINDULIWA NA RAIS DKT. SAMIA SULUHU
Mradi wa maji wa Same-Mwanga-Korogwe ni juhudi kubwa ya kuboresha upatikanaji wa maji safi kwa wakazi wa mikoa ya Kilimanjaro na Tanga. Mradi huu unahusisha ujenzi wa sehemu ya kuchuja maji inayohakikisha uchafu na chembechembe hatarishi zinaondolewa kabla ya kusambazwa kwa matumizi. Pia, kuna sehemu ya kusukuma maji kwa kutumia …
Soma zaidi »“TUTANYOOSHANA POLEPOLE MPAKA WOTE TUTASIMAMA” MHE: RAIS DKT. SAMIA
Katika hotuba hii yenye ujumbe mzito, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, anazungumzia uwajibikaji, uadilifu, na juhudi za kuhakikisha kila Mtanzania anasimama imara kwa maendeleo ya taifa! ๐๐ช โ Uwazi na uwajibikaji katika uongozi โ Kusimamia haki na maendeleo kwa wote โ Kuimarisha nidhamu …
Soma zaidi »“BIG BOSS, HUSHIKIKI NA KAZI NI KUANGALIA RASILIMALI ZIPO WAPI” MHE: DKT SAMIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, anaweka wazi msimamo wake wa kazi na maendeleo! ๐๏ธ๐ผ Katika hotuba hii yenye msisimko, anasisitiza dhamira yake ya kuhakikisha rasilimali za taifa zinatumiwa ipasavyo kwa maendeleo ya Watanzania wote. ๐๐ฐ Kauli hii inadhihirisha uongozi thabiti na maono ya …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+