DKT. NCHEMBA AHIMIZA USHIRIKIANO WA KIKODI NA OMAN
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), akizungumza katika kikao kifupi na Mwenyekiti wa Mamlaka ya Mapato ya Oman, Bw. Nasser Khamis Al-Jashmir, kuhusu namna ya kuimarisha ushirikiano kati ya Oman na Tanzania katika eneo la kodi ili kurahisisha ufanyaji biashara kwa faida ya nchi hizo mbili. …
Soma zaidi »WIZARA YA FEDHA ITAWEKA AJENDA YA RAIS DKT SAMIA YA UTUNZAJI WA MAZINGIRA KUWA KIPAUMBELE
Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba ameeleza kuwa ni gharama kubwa sana kukabiliana na uharibifu wa Mazingira, lakini Mataifa ya Afrika Mashariki Yanapochukua hatua za Mapema itaepusha gharama za baadae za kurejesha Mazingira. Ni lazima Nchi zote za Afrika Mashariki zikaiga kwa Tanzania sasa zikahamasisha matumizi ya nishati safi ya …
Soma zaidi »MAFANIKIO YA SERIKALI YA TANZANIA KATIKA UKUSANYAJI WA MAPATO NA UKUAJI WA MIRADI YA UWEKEZAJI: RIPOTI YA JULAI 2023 – JANUARI 2024
Ukusanyaji wa Mapato. Ripoti inabainisha mafanikio ya Serikali katika kukusanya mapato ya ndani, ambapo kati ya Julai 2023 na Januari 2024, Serikali ilifanikiwa kukusanya shilingi trilioni 17.1, sawa na asilimia 95.9 ya lengo la kukusanya shilingi trilioni 17.9. Hii inaashiria kiwango cha juu cha ufanisi katika ukusanyaji wa mapato, ambapo …
Soma zaidi »TRA Imekusanya Tsh. Trilioni 3.05 mwezi Desemba 2023.
TRA ilikusanya Trilioni 3.05 mwezi Desemba 2023, ukusanyaji wa juu zaidi kwa mwezi katika historia. Ilipita lengo lake kwa asilimia 102.9%. Mwelekeo wa Ukusanyaji wa Mapato kwa miezi 6 iliyopita. Julai – Trilioni 1.9 ,Agosti – Trilioni 2 ,Septemba – Trilioni 2.6 , Oktoba – Trilioni 2.148 ,Novemba – Trilioni 2.143 ,Desemba – Trilioni 3.049. Wajibu …
Soma zaidi »Kodi zinachangia katika kufadhili miradi ya maendeleo, miundombinu, na huduma za jamii. Hii inaweza kusaidia kuimarisha uchumi wa nchi.
TAARIFA YA MAKUSANYO YA KODI YA NUSU MWAKA WA FEDHA 2023/2024.
TOFAUTI YA SENSA YA MWAKA 2022 NA SENSA ZILIZOPITA
Tofauti ya Sensa ya Mwaka 2022 na Sensa zilizopita:-Katika sensa ya mwaka 2022 inatarajiwa kuwa na vitu vipya kama vile;• Kutenga maeneo ya kijiografia ya kuhesabia watu katika ngazi za kitongoji/mtaa na upatikanaji wa taarifa za kitakwimu katika ngazi za kitongoji/mtaa pamoja na kuwa na mipaka ya kudumu katika ngazi …
Soma zaidi »TANZANIA NA BENKI YA KIARABU WASAINI MKATABA WA UJENZI WA BARABARA YA ZANZIBAR
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Kiarabu ya Maendeleo ya Kiuchumi Afrika (BADEA), Dkt. Sidi Ould Tah, wakisaini marekebisho ya mkataba wa Mradi wa Bararaba ya Wete – Chake Chake, Pemba katika hafla iliyofanyika, jijini Dodoma. Waziri wa Fedha …
Soma zaidi »SWEDEN YAMWAGA BILIONI 196 KUSAIDIA SEKTA YA ELIMU NCHINI
Na. Peter Haule, WFM, Dar es Salaam Tanzania imepokea msaada wa Krona za Sweden milioni 750 sawa na shilingi bilioni 196 kwa ajili ya kusaidia utekelezaji wa Awamu ya Pili ya Mpango wa Elimu kwa Matokeo unaohusu elimu ya Msingi (EPforR II). Mkataba wa Msaada huo umesainiwa jijini Dar es …
Soma zaidi »