β Mtoto ni zao la matokeo ya wazazi wawili, Naomba wazazi tuthamini kuwa mtoto ni mtu muhimu na anahitaji kulelewa, tukumbuke kuwa tumefika hapa kwa kuwa wako wazazi walivumiliana na wakatulea katika familia na sisi tusiwe watu wa kutelekeza familia zetu, ni wajibu wa kila mmoja kujua kuwa familia ni …
Soma zaidi »WAZIRI DKT. ASHANTU KIJAJI AKIWASILISHA BAJETI YA MIFUGO NA UVUVI 2025/ 2026.
#bungelive #chadema #ijuesheria #katibanasheria #section4wakilitv #mslac #live #meimosi2025 #mifugo #UVUVI.
Soma zaidi »WAFANYAKAZI WATOA NENO LA SHUKRANI KWA RAIS SAMIA
Baadhi ya Wafanyakazi nchini wametoa pongezi na shukrani za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuthibitisha tena kuwa anawajali watumishi wa umma. Katika kilele cha sherehe za Mei Mosi 2025 zilizofanyika Uwanja wa Bombadia mkoani Singida, Rais Samia alitangaza ongezeko la kima …
Soma zaidi »π΄ HOTUBA YENYE MWELEKEO MPYA YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KWA WAFANYAKAZI : MEI MOSI 2025, SINGIDA.
Karibu kwenye video hii ambapo Rais Samia Suluhu Hassan anatoa hotuba ya kipekee yenye mwelekeo mpya kwa wafanyakazi katika maadhimisho ya Mei Mosi 2025, yaliyofanyika Singida. Katika hotuba hii, Rais Samia anazungumzia malengo ya maendeleo, haki na faraja za wafanyakazi, pamoja na mipango ya serikali ya kuimarisha mazingira ya kazi …
Soma zaidi »π΄ π »π Έπ π ΄ :MAADHIMISHO YA MEI MOSI KITAIFA 2025 β SINGIDA | MGENI RASMI DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
Karibu kwenye matangazo ya moja kwa moja ya Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) Kitaifa kwa mwaka 2025, yanayofanyika leo mkoani Singida. Mgeni rasmi katika sherehe hizi ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambapo atahutubia taifa na kuzungumza na wafanyakazi kutoka …
Soma zaidi »RAIS SAMIA AANDIKA HISTORIA MPYA YA MASLAHI YA WAFANYAKAZI
Ametangaza ongezeko la asilimia 35.1 kwa mshahara wa chini wa watumishi wa umma, hatua inayodhihirisha dhamira ya kweli ya Serikali kuboresha maisha ya wafanyakazi. #katibanasheria #MSLAC #SSH #SisiniTanzania
Soma zaidi »Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitoa zawadi kwa wafanyakazi hodari katika sherehe ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi ambapo Kitaifa zimefanyika katika uwanja wa Bombadia Mkoani Singida tarehe 01 Mei, 2025
KAZI NA UTU, TUNASONGA MBELE…
#MSLAC #SisiniTanzania #SisiniTanzania #sisindiowajenziwatanzaniayetu #nchiyangukwanza #Naipendanchiyangu #matokeochanya #SSH #kazinaututunasongambele #Mslac #katibanasheria
Soma zaidi »KAZI NA UTU, TUNASONGA MBELE…
#MSLAC #SisiniTanzania #SisiniTanzania #sisindiowajenziwatanzaniayetu #nchiyangukwanza #Naipendanchiyangu #matokeochanya #SSH #kazinaututunasongambele #Mslac #katibanasheria
Soma zaidi »WAZIRI MKUU ASHIRIKI KIKAO CHA BUNGE
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Aprili 8, 2025 ameshiriki Kikao cha Kwanza cha Mkutano wa Kumi na Tisa wa Bunge jijini Dodoma.
Soma zaidi »