WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza mamlaka zinazohusika kuchukua hatua kali dhidi ya muuguzi mmoja mkoani Tabora anayedaiwa kufanya upasuaji wa mgonjwa nyumbani kwake kinyume na maadili ya taaluma ya afya. Akizungumza leo Machi 4, 2026 alipokuwa akizungumza na wafanyabiashara wa Soko la Machinga jijini Dodoma baada ya kusimamishwa na …
Soma zaidi »๐ด LIVE: KUTOKA TIA SINGIDA | VIJANA PLATFORM CAMPUS CONNECT.
Karibu ujiunge nasi moja kwa moja kutoka TIA Singida kwenye Vijana Platform Campus Connect. Katika mjadala huu maalum, tunayo heshima ya kuwa na Mgeni Rasmi, Mhe. Waziri Joel Arthur Nanauka, ambaye atazungumza na vijana wa chuoni kuhusu fursa, ajira, uongozi na nafasi ya vijana katika maendeleo ya taifa. Campus Connect …
Soma zaidi »๐ด#LIVE: WAZIRI MKUU ANAZUNGUMZA NA WAMACHINGA, MADEREVA PIKIPIKI NA BAJAJI
Waziri Mkuu anazungumza moja kwa moja na wamachinga, madereva wa pikipiki na bajaji kuhusu masuala yanayowagusa katika shughuli zao za kila siku. Katika mazungumzo haya, anasikiliza changamoto zao, anatoa maelekezo, na kufafanua msimamo wa serikali katika kuboresha mazingira ya kazi na maisha ya wananchi wa kipato cha chini. Video hii …
Soma zaidi »KAMA WEWE NI KIJANA ANGALIA VIDEO HII UNA LA KUJIFUNZA KUZITAMBUA FURSA HAPA.
Video hii inaonesha mafanikio makubwa ya sekta ya kilimo yanayopatikana kupitia uwezeshwaji wa serikali kwa vijana na wananchi kwa ujumla, chini ya juhudi za TADB katika kufungua milango ya mitaji, maarifa na masoko. ๐น Hizi ni fursa halisi, siyo hadithi ๐น Kilimo ni biashara, siyo adhabu ๐น Vijana wana nafasi …
Soma zaidi »“HAKUNA KIJANA ATAKAYEACHWA NYUMA” NANAUKA
KIKAO KAZI CHA MAAFISA MAENDELEO YA VIJANA. TAR 18 DISEMBA 2025
๐ด#LIVE: VIJANA WA SAME MASHARIKI JINO KWA JINO NA WAZIRI WA VIJANA
HOTUBA NZITO YA WAZIRI WA VIJANA MHE. JOEL NANAUKA KWA MAAFISA MAENDELEO YA VIJANA
Hotuba nzito na yenye maelekezo ya kina kutoka kwa Waziri wa Maendeleo ya Vijana โ Mhe. Joel Nanauka, akizungumza na Maafisa Maendeleo ya Vijana kuhusu wajibu wao katika kusimamia, kuhamasisha na kutekeleza ajenda ya maendeleo ya vijana nchini. Hotuba hii inasisitiza uwajibikaji, uzalendo, ubunifu na mshikamano katika kuhakikisha vijana wanapata …
Soma zaidi »Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kabla ya kuzungumza na Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam tarehe 02 Desemba, 2025.
DKT. MWIGULU AKUTANA NA KATIBU MKUU WA TEC
Waziri Mkuu, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Novemba 20, 2025 amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Charles Kitima, katika Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar es Salaam.
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+