๐Ÿ“ BILIONI 300 ZAJENGA UWANJA WA MICHEZO ARUSHA โ€“ MAKONDA AMSHUKURU RAIS SAMIA

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Makonda, amepongeza juhudi za Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa bilioni 300 kwa ajili ya ujenzi wa uwanja wa michezo mkoani Arusha. Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Makonda alieleza kuwa uwanja huu utakuwa chachu ya maendeleo ya michezo, kuinua vipaji vya vijana, na kusaidia uchumi wa mkoa kwa kuvutia mashindano ya kitaifa na kimataifa.

Uwekezaji huu ni hatua kubwa katika kukuza sekta ya michezo na utalii wa michezo nchini.

#AsanteRais #Arusha #Bilioni300 #MichezoNiMaendeleo #UwanjaWaMichezo #IWD2025

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *