Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Makonda, amepongeza juhudi za Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuanzisha na kuendeleza kampeni ya msaada wa kisheria kwa wananchi, akisema kuwa ni hatua muhimu katika kuhakikisha haki inapatikana kwa wote, hususan kwa makundi yenye uhitaji mkubwa.
Akizungumza katika hafla hiyo, Makonda ameiomba Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kushiriki kikamilifu katika kampeni hii kwa kutoa msaada wa kisheria kwa wananchi, kusaidia uelewa wa haki zao, na kuhakikisha kuwa kila mtu anapata haki bila vikwazo vya kiuchumi au kijamii.
#AsanteRais #HakiKwaWote #MsaadaWaKisheria #TLS #Arusha
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+