MatokeoChanya

Waziri wa Habari Teknolojia na Mawasiliano ya Habari Mhe, Jerry Silaa akiteta jambo na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Deo Ndejembi pembezoni mwa Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 14 Julai, 2025

Kikao hicho cha Baraza la Mawaziri ni cha mwisho cha Serikali ya Awamu ya Sita kabla ya kufanyika Uchaguzi Mkuu mwezi Oktoba 2025.

Soma zaidi »

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 14 Julai, 2025. Kikao hicho cha Baraza la Mawaziri ni cha mwisho cha Serikali ya Awamu ya Sita kabla ya kufanyika Uchaguzi Mkuu mwezi Oktoba 2025

Soma zaidi »

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko, Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi Dkt. Moses Kusiluka kwenye picha ya pamoja na Mawaziri mara baada ya Kikao cha mwisho cha Baraza la Mawaziri cha Serikali ya Awamu ya Sita kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 14 Julai, 2025.

Soma zaidi »

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameiagiza Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) kuendeleza juhudi za kutafuta masoko ya nje ili kuongeza mauzo yatakayowezesha nchi kupata fedha za Kigeni.

Amesema kuwa TanTrade inapaswa kufanya tafiti za uhakika na uchambuzi wa masoko ambayo bidhaa za Tanzania zinaweza kuuzwa na kutoa taarifa hizo kwa wafanyabiashara kote nchini. Ametoa agizo hilo (Jumapili, Julai 13, 2025) alipomwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika ufungaji wa Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara ya …

Soma zaidi »

UTAMADUNI NDIO UNABAKI KUWA UTAMBULISHO WETU – MHE RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Kauli ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inasisitiza thamani ya urithi wetu wa kiutamaduni kama uti wa mgongo wa taifa. Katika hotuba hii ya kihistoria, Rais anaangazia namna mila, desturi na sanaa zetu zinavyobeba hadhi, heshima na historia ya Watanzania. Tazama video hii kujionea msisitizo wa Serikali ya Awamu …

Soma zaidi »

MAJALIWA AMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA IBADA YA KUWEKWA WAKFU ASKOFU MTEULE DKT. DANIEL MONO

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa leo Julai 13, 2025 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika ibada ya kumweka wakfu na kumuingiza kazini Askofu Mteule Dkt. Daniel Henry Mono wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Dayosisi ya Mwanga. Ibada hiyo imefanyika katika kanisa la KKKT Dayosisi ya Mwanga mkoani Kilimanjaro.

Soma zaidi »

NAJIVUNIA NCHI YANGU TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

Tazama jinsi Watanzania wanavyojivunia nchi yao kupitia historia, utamaduni, vivutio vya utalii, maendeleo ya miundombinu, na jitihada za kulijenga taifa letu kwa mshikamano. ๐Ÿ”ฅ Pata msukumo wa kuwa Mtanzania mzalendo zaidi! ๐ŸŽฅ Angalia, toa maoni yako, na usisahau kusambaza ujumbe huu wa uzalendo kwa wengine. #NajivuniaTanzania #Uzalendo #VijanaWaKitanzania #Maendeleo #AmaniNaUmoja …

Soma zaidi »

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais โ€“ TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa wakati akiwasili katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Mkoani Dodoma kufungua Mkutano wa Mwaka wa Waganga Wakuu wa Mikoa na Halmashauri leo tarehe 12 Julai 2025

Soma zaidi »

DKT. DAMAS NDUMBARO ATATUA MIGOGORO MIZITO NDANI YA VIUNGA VYA SABASABA โ€“ 2025

Katika kilele cha Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Sabasaba, Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro, amefanya ziara maalum kwenye Banda la Katiba na Sheria na kusikiliza moja kwa moja malalamiko na migogoro ya wananchi. Tazama jinsi Dkt. Ndumbaro alivyosimamia haki, akatoa ushauri wa kisheria papo …

Soma zaidi »

DKT. NDUMBARO AKITATUA MIGOGORO KATIKA BANDA LA KATIBA NA SHERIA: SABASABA 2025

Katika maonyesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Sabasaba, Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro, ametembelea banda la Wizara yake na kushuhudia kwa vitendo utoaji wa msaada wa kisheria kwa wananchi. Dkt. Ndumbaro ametumia fursa hiyo kusikiliza hoja za wananchi waliowasilisha malalamiko mbalimbali, yakiwemo ya migogoro …

Soma zaidi »