
Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa nchi na Serikali wa SADC kwa njia ya Mtandao pamoja na Viongozi mbalimbali, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 13 Machi 2025. Mkutano huo pamoja na mambo mengine unajadili hali ya Ulinzi na Usalama Mashariki mwa Nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).


Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+