Tanzania imepiga hatua kubwa katika sekta ya afya, elimu, miundombinu, na maendeleo ya jamii chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan. Moja ya mafanikio makubwa ni kupungua kwa vifo vya wanawake wakati wa kujifungua kutoka 1500 kwa vizazi hai 100,000 hadi 104 kwa vizazi hai 100,000 β hatua kubwa katika kuboresha huduma za afya ya uzazi nchini!
Katika video hii, tunakuletea mafanikio ya Tanzania na juhudi zinazofanywa kuinua ustawi wa wananchi kwa ujumla. Sisi ni Tanzania! πΉπΏπ
π’ Usisahau: β Ku-Like π β Ku-Subscribe π β Kushare ili kueneza ujumbe wa maendeleo π² #SisiNiTanzania πΉπΏ #SamiaSuluhuHassan #AfyaBora #Maendeleo #TanzaniaKwanza #SioNdotoTena
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+