IFTAR YA KIHISTORIA ARUSHA: MHE. RC. MAKONDA AONGOZA JUHUDI ZA KUDUMISHA UMOJA NA UPENDO.

Katika hali ya kipekee ya mshikamano na umoja, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mheshimiwa Paul Christian Makonda, ameandaa hafla ya futari (Iftar) kwa ajili ya wananchi wa Arusha, viongozi wa dini, na wazee wa mkoa huu. Iftar hii, inayotarajiwa kufanyika tarehe 27 Machi 2025 katika viwanja vya ofisi ya mkoa wa Arusha, ni tukio ambalo lina umuhimu mkubwa katika kukuza na kudumisha amani, upendo, mshikamano, na undugu katika jamii ya Arusha

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *