Maktaba ya Mwezi: August 2025

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Ndugu. Kailima Ramadhani leo tarehe 30 Agosti, 2025 ameongoza kikao cha wawakilishi wa vyama vya siasa kupitia na kufanya mabadiliko madogo kwenye ratiba ya mikutano ya hadhara ya kampeni za wagombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais.

Mikutano hiyo iliyoanza tarehe 28 Agosti, 2025 inaendelea hadi tarehe 28 Oktoba, 2025 kwa Tanzania Bara na tarehe 27 Oktoba, 2025 kwa Tanzania Zanzibar. Uchaguzi wa Rais na Wabunge wa Jamhuri ya Muungano na Madiwani kwa Tanzania Bara utafanyika tarehe 29 Oktoba, 2025. #KurayakoHakiyakoJitokezeKupigaKura #oktoba2025 #tumehuruyataifayauchaguzi #uchaguzi2025 #UchaguziMkuu #uchaguzi

Soma zaidi »

The Vice President of the Republic of Zimbabwe, H.E. Retired Colonel Kembo Campbell Mohadi arrived in Tanzania on August 30, 2025, for a two-day working visit ending on August 31, 2025. The visit was made at the invitation of the Vice President of the United Republic of Tanzania, H.E. Dr. Philip Isdor Mpango.

Upon arrival at Julius Nyerere International Airport, Vice President Mohadi was warmly received by the Deputy Minister for Foreign Affairs and East African Cooperation, Honorable Cosato Chumi, along with other senior government officials. During his visit, Vice President Mohadi will hold official talks with his host, H.E. Dr. Philip Isdor …

Soma zaidi »

🔴CCM INAZINDUA KAMPENI YA UCHAGUZI MKUU 2025 KAWE DAR ES SALAAM, AGOSTI 28, 2025

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Mgombea Urais wa Tanzania kwa Uchaguzi Mkuu wa 2025, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezindua rasmi kampeni za CCM kupitia tiketi ya chama hicho leo tarehe 28 Agosti 2025, katika Viwanja vya Tanganyika Peckers, Kawe – Dar es Salaam. Katika uzinduzi huu, …

Soma zaidi »

DKT. SAMIA AANZA RASMI SAFARI YA UCHAGUZI – ACHUKUA FOMU NEC KWA USHINDI WA CCM

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, amechukua rasmi fomu ya uteuzi katika Tume Huru ya Uchaguzi, kuashiria mwanzo wa safari ya uchaguzi kwa chama tawala. Tukio hili limehudhuriwa na viongozi waandamizi wa CCM, wafuasi, na wananchi …

Soma zaidi »

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhwan Jakaya Kikwete (Mb), ametoa hotuba muhimu, Agosti 27, 2025, Dar es Salaamu JengO la Nsssf ,Wakati wa ziara ya Mheshimiwa Gembá Koichiro, Makamu Spika wa Baraza la Wawakilishi la Japan, na ujumbe wake

Hotuba hiyo ililenga kuimarisha uhusiano wa muda mrefu kati ya nchi hizo mbili na kusisitiza umuhimu wa kuwekeza katika maendeleo ya rasilimali watu, hasa vijana. Mhe. Kikwete alieleza kuwa Tanzania imeendelea kuwa na ukuaji thabiti wa uchumi, lakini ili kufungua kikamilifu uwezo wake, ni lazima kuwa na kipaumbele katika maendeleo …

Soma zaidi »

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imemteua Mhe. Mhe. Majalio Paul Kyara kugombea Kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mhe. Satia Mussa Bebwa kugombea Kiti cha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Sauti ya Umma (SAU)

Hafla hiyo ya uteuzi iliyofanyika kwenye Ofisi za Tume zilizopo Njedengwa, jijini Dodoma tarehe 27 Agosti, 2025 imeongozwa na Mwenyekiti wa Tume, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufaa, Jacobs Mwambegele. #KurayakoHakiyakoJitokezeKupigaKura #uchaguzi2025 #uchaguzi #tumehuruyataifayauchaguzi #uchaguzimkuu

Soma zaidi »