Maktaba ya Kila Siku: August 30, 2025

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Ndugu. Kailima Ramadhani leo tarehe 30 Agosti, 2025 ameongoza kikao cha wawakilishi wa vyama vya siasa kupitia na kufanya mabadiliko madogo kwenye ratiba ya mikutano ya hadhara ya kampeni za wagombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais.

Mikutano hiyo iliyoanza tarehe 28 Agosti, 2025 inaendelea hadi tarehe 28 Oktoba, 2025 kwa Tanzania Bara na tarehe 27 Oktoba, 2025 kwa Tanzania Zanzibar. Uchaguzi wa Rais na Wabunge wa Jamhuri ya Muungano na Madiwani kwa Tanzania Bara utafanyika tarehe 29 Oktoba, 2025. #KurayakoHakiyakoJitokezeKupigaKura #oktoba2025 #tumehuruyataifayauchaguzi #uchaguzi2025 #UchaguziMkuu #uchaguzi

Soma zaidi »

The Vice President of the Republic of Zimbabwe, H.E. Retired Colonel Kembo Campbell Mohadi arrived in Tanzania on August 30, 2025, for a two-day working visit ending on August 31, 2025. The visit was made at the invitation of the Vice President of the United Republic of Tanzania, H.E. Dr. Philip Isdor Mpango.

Upon arrival at Julius Nyerere International Airport, Vice President Mohadi was warmly received by the Deputy Minister for Foreign Affairs and East African Cooperation, Honorable Cosato Chumi, along with other senior government officials. During his visit, Vice President Mohadi will hold official talks with his host, H.E. Dr. Philip Isdor …

Soma zaidi »