#SisiNiTanzania #Tanzania #AmaniKwanza #UmojaNaAmani #TanzaniaMoja #PeaceForTanzania
Soma zaidi »DAMU YA WATANZANIA NI YETU SOTE
Sote ni wamoja, Majonzi ya mmoja ni ya wote. Tanzania moja, haki na umoja. Tuwe watulivu, tuendelee kujenga nchi yetu kwa amani na upendo.” #SisiNiTanzania #Tanzania #TanzaniaYetu #AmaniKwanza #UmojaNaAmani #KijanaWaKitanzania #MabadilikoChanya #TanzaniaMoja #KaziIendelee #PatriotismTZ
Soma zaidi »JE WAJUA MUSTAKABALI WA TAIFA LETU, NA HUU NDIO MUSTAKABALI WA TAIFA LETU.
TANZANIA YA UPENDO INAWEZEKANA
TUINUE SAUTI ZA MAZUNGUMZO, SI FUJO…
Tanzania:ukurasa mpya wa amani kwa kuzindua Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani
Dodoma, 20 Novemba 2025 — Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, alizindua rasmi Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 29 Oktoba, 2025, katika hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino, Dodoma. Tukio hilo lilikuwa …
Soma zaidi »NAMWOMBA MWENYEZI MUNGU KUWA MWISHO WA AWAMU YA SITA USIPIMWE KWA VITU BALI KWA TABASAMU- RAIS SAMIA
“Namwomba Mwenyezi Mungu kuwa mwisho wa Awamu ya Sita usipimwe kwa vitu bali kwa tabasamu tutakaloliacha kwenye nyuso za Watanzania” — inatukumbusha maana ya uongozi unaogusa watu moja kwa moja. Ni wito wa kufanya kazi kwa moyo, kusikiliza wananchi na kuhakikisha maisha yao yanakuwa bora zaidi kwa vitendo vinavyoonekana ndani …
Soma zaidi »MKAZI WA ARUSHA AACHANA NA DAWA ZA KULEVYA, AANZISHA SHAMBA LA MAZAO YA CHAKULA
Talik Azizi Mkawa, mkazi wa Arusha, ni mfano wa kuigwa baada ya kuamua kuachana na matumizi ya dawa za kulevya na kuanza ukurasa mpya wa maisha. Baada ya kupata nafuu, Talik amesema aliguswa na wito wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aliyewahimiza vijana waliokuwa waraibu wa dawa za kulevya kujikita …
Soma zaidi »SERIKALI YA RAIS SAMIA YAWEKA MSINGI IMARA WA KUMPA KILA MTANZANIA HESHIMA NA FURSA
Utu wa mtu ni nguzo muhimu kwa kila binadamu, bila kujali anapitia hali gani katika maisha. Thamani ya utu haiwezi kupimwa kwa mali, cheo, au nafasi bali kwa jinsi tunavyomtendea binadamu mwenzetu. Serikali ya Tanzania inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imeonyesha kwa vitendo kwamba utu ni kipaumbele …
Soma zaidi »AMANI YETU INATUHUSU
@wolperstylishtz @makavu @ladyjaydee_ @efraziamakene @mrlovebite27 @officialzuchu @africanboyjux @abigail_chams @hamisamobetto @daynanyangetz @rayvanny_chui @diamondplatnumz @missgrandtanzania @killer_msodoki @kondeboy_tz @amina_jigge
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+