Katika kuadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja, Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kupitia Ofisi ya Kanda ya Kati, Oktoba 10, 2025 imetoa mafunzo kwa wakandarasi wa ujenzi waliosajiliwa na Bodi ya Usajili wa Makandarasi (CRB).
MatokeoChanya
October 10, 2025
CCM, Matokeo ChanyA+, MAZINGIRA, NEMC, RAIS SAMIA SULUHU HASSAN, Tanzania, Tanzania MpyA+
63 Imeonekana