Kauli hii ni mwendelezo wa wito wa kizalendo unaotufundisha kwamba dira ya taifa letu haijabaki kwenye karatasi pekee, bali imebeba ndoto, matumaini na matarajio ya kila Mtanzania. Ndoto ya maendeleo, ustawi wa jamii na umoja wa taifa letu. Katika hotuba hii, Rais Samia anasisitiza mshikamano, mshikikano wa kazi na mshirikiano …
Soma zaidi »Maktaba ya Mwezi: August 2025
KUTUMIA NJIA ZA AMANI KUONDOSHA MIGOGORO NDIO KUNAKOLETA AMANI – RAIS . DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
Amani ya kweli haipatikani kwa nguvu wala kwa mabishano yasiyoisha, bali hupatikana pale tunapochagua njia za amani katika kusuluhisha migogoro. Kauli hii inatufundisha kuwa mazungumzo, maridhiano, na uvumilivu ndio silaha kubwa zaidi kwa ustawi wa jamii na taifa. Kila mtu ana nafasi ya kuchagua amani badala ya vurugu, mshikamano badala …
Soma zaidi »AMANI INAANZA NA MIMI – RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
Amani ya kweli inaanzia ndani ya moyo wa kila mmoja wetu. Nukuu hii ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inatufundisha kuwa amani si kitu cha mbali – ni hali ya ndani inayojengwa kwa kutosheka, utulivu, na mshikamano wa kijamii. Kupitia maneno haya, tunaalikwa kukumbuka kuwa kila mmoja wetu ana …
Soma zaidi »UTEUZI WA WANACHAMA WA CCM WATAKAOGOMBEA NAFASI ZA UBUNGE NA UJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI KWA MAJIMBO NA VITI MAALUM
Chama Cha Mapinduzi (CCM), kinapenda kuwajulisha wanachama wake na umma wa Watanzania kuwa, Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) katika kikao chake cha tarehe 23 Agosti, 2025 imefikira na kufanya uteuzi wa mwisho wa majina ya wanachama wanaoomba nafasi za Ubunge na majina ya wanachama wanaoomba nafasi ya Ujumbe wa …
Soma zaidi »SERIKALI YAREJESHA TABASAMU KWA CHIDI BENZ
SERIKALI ya Awamu ya Sita kupitia Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya #DCEA imefanikiwa kumtibu bure rapa wa muziki wa hip hop nchini, Rashidi Abdallah Mohamed Makwiro (Chid Benz) ambaye kwa miaka kadhaa alitumbukia kwenye uraibu wa dawa za kulevya, hivyo kudhoofika kiafya na kushindwa kutekeleza majukumu …
Soma zaidi »MUNGU IBARIKI TANZANIA
TUFANYE DUA NA SALA KWAAJILI YA TAIFA LETU – MHE. RAIS. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
Ni wakati wa kutafakari, kushirikiana na kuombea amani, mshikamano na maendeleo ya Watanzania wote. Dua hii inalenga kutuunganisha kama taifa moja lenye upendo na mshikikano, huku tukimshukuru Mungu kwa baraka na neema nyingi alizotujalia, na kuomba mwongozo wake katika safari ya kujenga Tanzania yenye heshima, ustawi na mshikamano wa kudumu. …
Soma zaidi »TUFANYE KAZI MOJA YA KUIJENGA NCHI YETU – RAIS WA ZANZIBAR MHE DK. HUSSEIN ALI MWINYI
“Tufanye Kazi Moja ya Kuijenga Nchi Yetu” – Kauli ya Rais wa Zanzibar Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi inatukumbusha wajibu wa kila Mtanzania kushirikiana kwa mshikamano, mshikikano na uzalendo katika kuleta maendeleo ya taifa letu. 🇹🇿 Katika hotuba hii yenye msisitizo, Rais Mwinyi anahamasisha mshikamanio kati ya wananchi na viongozi, …
Soma zaidi »TANZANIA YETU
#katibanasheria #MSLAC #sisiniTanzania #Nchiyangukwanza #TanzaniaNiwajibuwetu #Nchiyetufahariyetu #tanzania #SSH #kazinaututunasongambele #HakiKwaWote #ElimuYaSheria #WizaraYaKatibaNaSheria
Soma zaidi »KUPIGA KURA NI UZALENDO……….
#katibanasheria #MSLAC #sisiniTanzania #Nchiyangukwanza #TanzaniaNiwajibuwetu #Nchiyetufahariyetu #tanzania #SSH #kazinaututunasongambele #HakiKwaWote #ElimuYaSheria #WizaraYaKatibaNaSheria
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+