Maktaba ya Kila Siku: August 14, 2025
MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIWAVISHA NISHANI YA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI CISM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akiwavisha Nishani Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani CISM Ikulu Dar es Salaam, leo tarehe 14 Agosti, 2025.
Soma zaidi »MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN ATUNUKIWA NISHANI YA HESHIMA NA CISM πΉπΏπ
Katika hafla ya kipekee, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametunukiwa Nishani ya Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (CISM) kama kutambua mchango wake mkubwa katika kuimarisha michezo ya kijeshi, diplomasia ya kimataifa na mshikamano wa amani kupitia michezo. Tazama tukio hili la kihistoria …
Soma zaidi »ONA JINSI TANI 18 4 YA SHEHENA YA DAWA MPYA YA KULEVYA NA WATUHUMIWA WALIVYOKAMATWA DAR ES SALAAM
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imekamata shehena ya dawa mpya ya kulevya aina ya mitragyna speciosa mifuko 756 yenye uzito wa jumla ya kilogramu 18,485.6 sawa na tani 18.5 iliyokuwa ikiingizwa nchini kama mbolea. Hayo yamesemwa leo Agosti 13,2025 na Kamishna Jenerali wa DCEA, Aretas …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+