Maktaba ya Kila Siku: June 26, 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa safarini kutoka Dar es Salaam kuelekea Jijini Dodoma tarehe 26 Juni, 2025. Pamoja na mambo mengine kesho Mhe. Rais Dkt. Samia atahutubia na kuhitimisha shughuli za Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amekuwa nguzo ya kuimarisha mshikamano na umoja wa kitaifa na kufanikisha maendeleo katika sekta mbalimbali za maendeleo
Amesema kuwa katika kipindi cha uongozi wake, Rais Dkt. Samia ameweza kusimama imara katika kuendeleza miradi ya kimkakati na huduma za jamii, kusimamia demokrasia, kujenga uchumi na kuimarisha diplomasia. Amesema hayo leo (Alhamisi, Juni 26, 2025) wakati alipotoa hoja ya kukamilisha shughuli za Bunge la 12, Bungeni jijini Dodoma. “sina …
Soma zaidi »🔴 LIVE: KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA KUPIGA VITA DAWA ZA KULEVYA.
Karibu uungane nasi mubashara leo tarehe 26 Juni, 2025, moja kwa moja kutoka Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre, Dodoma, kushuhudia Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kupiga Vita Matumizi na Biashara ya Dawa za Kulevya. Maadhimisho haya yanafanyika kwa lengo la kuelimisha na kuhamasisha jamii kushiriki kikamilifu …
Soma zaidi »🔴 LIVE: KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA KUPIGA VITA DAWA ZA KULEVYA.
Karibu uungane nasi mubashara leo tarehe 26 Juni, 2025, moja kwa moja kutoka Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre, Dodoma, kushuhudia Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kupiga Vita Matumizi na Biashara ya Dawa za Kulevya. Maadhimisho haya yanafanyika kwa lengo la kuelimisha na kuhamasisha jamii kushiriki kikamilifu …
Soma zaidi »NILITAMANI KUFA MARA MOJA KULIKO MATESO YALE YA POLEPOLE
Mraibu wa dawa za kulevya anaeleza kwa uchungu jinsi alivyotamani dawa hizo zingekuwa ni sumu ya kumuua alipokuwa akizitumia, badala ya kumwacha hai ili aendelee kuteseka. Anasema mateso aliyoyapitia kwa zaidi ya miaka 15 yalikuwa makubwa kuliko maumivu ya kifo alikosa amani, heshima, kazi, familia na afya. Kila alipozitumia alitamani …
Soma zaidi »USHIRIKIANO WA JAMII NA MAMLAKA KATIKA MAPAMBANO YA MATUMIZI NA BIASHARA YADAWA ZA KULEVYA UNAFAIDA
Mamlaka ya Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa sasa inashirikiana kwa karibu na asasi mbalimbali za kiraia katika kutoa elimu ya madhara ya dawa za kulevya kwa jamii. Ushirikiano huu unalenga kuimarisha uhamasishaji, kuibua taarifa kutoka kwa wananchi, na kushirikiana katika kutoa msaada kwa waathirika. Kupitia mikutano ya kijamii, …
Soma zaidi »🔴 LIVE: KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA KUPIGA VITA DAWA ZA KULEVYA.
Karibu uungane nasi mubashara leo tarehe 26 Juni, 2025, moja kwa moja kutoka Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre, Dodoma, kushuhudia Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kupiga Vita Matumizi na Biashara ya Dawa za Kulevya. Maadhimisho haya yanafanyika kwa lengo la kuelimisha na kuhamasisha jamii kushiriki kikamilifu …
Soma zaidi »TUJITOKEZE KWA WINGI! TUUNGANE NA RAIS SAMIA KATIKA KILELE CHA MAPAMBANO DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA
Wana-Dodoma na Watanzania kwa ujumla, mnakaribishwa kushiriki katika Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kupiga Vita Matumizi na Biashara ya Dawa za Kulevya kitakachofanyika tarehe 26 Juni 2025, kuanzia saa 1:00 asubuhi, katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre, Dodoma. Mgeni rasmi atakuwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa …
Soma zaidi »UWEZESHAJI WA WARAIBU WA ZAMANI, SULUHISHO LA KUDUMU KUKOMESHA UREJEO WA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA
Mdau wa kupinga matumizi ya dawa za kulevya Nuru Saleh Ahmed ameeleza kuwa Ni muhimu kwa Serikali kushirikiana na jamii katika kuwawezesha waraibu wa zamani wa dawa za kulevya kwa kuwapatia mitaji na fursa za kiuchumi baada ya wao kuacha matumizi ya dawa hizo. Utafiti na hali halisi unaonesha kuwa …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+