Maktaba ya Kila Siku: June 9, 2025

KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA MSLAC KUENDELEA JUNI 16, 2025 — MAANDALIZI YA UZINDUZI MKOANI DAR ES SALAAM

Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya MSLAC (Mainland Social Legal Aid Campaign) ni mpango maalum wa kitaifa unaolenga kuimarisha upatikanaji wa haki kwa wananchi, hususan wale wa kipato cha chini, kupitia utoaji wa msaada wa kisheria bure, elimu ya haki za binadamu, na uhamasishaji juu ya mifumo ya sheria inayotumika …

Soma zaidi »