Karibu ufuatilie tukio maalum la kuapishwa kwa viongozi wapya walioteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Hafla hii inafanyika katika viunga vya Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma, leo tarehe 28 Juni, 2025. Katika tukio hili, viongozi kutoka kada mbalimbali serikalini wanapokea rasmi majukumu …
Soma zaidi »Maktaba ya Kila Siku: June 28, 2025
HOTUBA YA MHE. RAIS. DKT. SAMIA: AKIWAAPISHA VIONGOZI WATEULE IKULU CHAMWINO DODOMA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akiwaapisha Viongozi Wateule Ikulu Chamwino Dodoma, leo tarehe 28 Juni, 2025
Soma zaidi »TATHMINI YA HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AKIVUNJA BUNGE JIJINI DODOMA – 2025 🏛️
Katika video hii tunakuletea uchambuzi wa kina na tathmini ya hotuba ya kihistoria iliyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakati wa kulivunja Bunge la 12 jijini Dodoma. Rais Samia amegusia mafanikio ya serikali ya awamu ya sita, changamoto zilizokumbwa, na dira ya …
Soma zaidi »ONA USHIRIKIANO MADHUBUTI WA JESHI LA POLISI NA DCEA KATIKA VITA DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA
Katika kuhakikisha Tanzania inaendelea kuwa taifa salama na lenye watu wenye afya bora na maadili mema, Jeshi la Polisi limeimarisha ushirikiano wake na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) katika jitihada za kuzuia, kubaini na kutokomeza kabisa matumizi na biashara ya dawa za kulevya nchini. Kupitia …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+