Maktaba ya Kila Siku: December 24, 2024

HERI YA SIKUKUU YA NOELI!

Tunawatakia Watanzania wote furaha, amani, na upendo katika kipindi hiki cha Noeli. Tuwe na muda wa kusherehekea pamoja na familia na marafiki, huku tukikumbuka maana halisi ya sikukuu hii—upendo, ukarimu, na mshikamano. Mungu aendelee kuibariki nchi yetu Tanzania na kutupa mwaka mpya uliojaa matumaini na mafanikio. Noeli Njema na Mwaka …

Soma zaidi »

Ujenzi wa Kituo cha Afya Igava, Kijiji cha Igunda Muungano, Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Unaendelea kwa Kasi

Kazi ya ujenzi wa Kituo cha Afya cha Kata ya Igava kilichopo Kijiji cha Igunda Muungano, Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali, inaendelea kwa kasi. Ujenzi huu unafadhiliwa kwa zaidi ya shilingi milioni 400, zilizotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Fedha hizi ni …

Soma zaidi »

Ushirikiano wa Wananchi na Serikali katika Kuboresha Huduma za Afya

Kituo cha Afya Kafita, kilichopo katika Wilaya ya Nyang’hwale, Kata ya Kafita, kijiji cha Kafita, ni mfano wa mafanikio ya ushirikiano kati ya wananchi, Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), na serikali kuu. Ujenzi wa kituo hiki umegharimu jumla ya shilingi milioni 200, fedha ambazo zilitokana na juhudi za wananchi, …

Soma zaidi »