Maktaba ya Kila Siku: December 30, 2024

RAIS SAMIA AZUNGUMZA NA WAJUMBE WA KAMATI MAALUM YA CCM ZANZIBAR

Mwenyekiti wa CCM ambae pia ni Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amezungumza na Wajumbe wa Kamati Maalum ya CCM Zanzibar katika kikao kilichoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali …

Soma zaidi »