Licha ya mafanikio haya, juhudi za ujenzi bado zinaendelea. Mabweni ya kisasa yamepangwa kujengwa ili kuhakikisha wanafunzi wanapata sehemu salama za kuishi, na ukumbi wa mikutano unaendelea kujengwa kwa lengo la kuwapa wanafunzi na walimu nafasi ya kushiriki mikutano na shughuli mbalimbali za kitaaluma na kijamii. Kuimarisha Usawa wa Kijinsia …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+