Maktaba ya Kila Siku: December 26, 2024

HATUA CHANYA+ ZA MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) NA MATARAJIO YA KUKAMILIKA

Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) jijini Dar es Salaam umeendelea kupiga hatua muhimu katika kuboresha usafiri wa umma. Hadi sasa, Awamu ya Kwanza imekamilika na inafanya kazi, ikihusisha kilomita 21.1 kutoka Kimara hadi Kivukoni/Morocco/Gerezani, na kuhudumia wastani wa abiria 179,000 kwa siku. Awamu ya Pili, yenye urefu wa kilomita …

Soma zaidi »