Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) jijini Dar es Salaam umeendelea kupiga hatua muhimu katika kuboresha usafiri wa umma. Hadi sasa, Awamu ya Kwanza imekamilika na inafanya kazi, ikihusisha kilomita 21.1 kutoka Kimara hadi Kivukoni/Morocco/Gerezani, na kuhudumia wastani wa abiria 179,000 kwa siku. Awamu ya Pili, yenye urefu wa kilomita …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+