Miongoni mwa masuala mengine, mkutano huo wa mwisho wa mwaka ulijadili jinsi GWPSA inaweza kuongeza ufanisi na kupanua zaidi shughuli zake za kutoa msaada wa kifedha na kitaalamu katika sekta ya maji kwa nchi nyingi zaidi barani Afrika. Kama sehemu ya mikakati ya kufikia lengo hilo, GWPSA imepanga kushirikiana kwa …
Soma zaidi »Maktaba ya Kila Siku: December 14, 2024
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Desemba 14, 2024 ametembelea kiwanda cha kutengeneza dawa za binadamu cha CURE AFYA kilichopo Kigamboni jijini Dar es Salaam
Akizungumza baada ya kushuhudia uzalishaji wa dawa kwenye kiwanda hicho chenye thamani ya takribani shilingi bilioni 50, Waziri Mkuu amesema kuwa Serikali inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan itaendelea kuweka mazingira rafiki ya uwekezaji ili kuhakikisha wawekezaji wanapata faida kutokana na shughuli zao. “Serikali imefanya uwekezaji mkubwa kwenye …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+