Maktaba ya Kila Siku: December 6, 2024

Ujenzi wa Shule ya Sekondari Ubaruku, Serikali Yatoa Milioni 583 kwa Wananchi wa Mbarali

Serikali ya awamu ya sita imeendelea kuwekeza katika sekta ya elimu kwa kutoa kiasi cha shilingi milioni 583 kwa ajili ya ujenzi wa Shule ya Sekondari Ubaruku, iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali. Mradi huu unalenga kuboresha upatikanaji wa elimu kwa vijana wa eneo hilo na kupunguza changamoto ya …

Soma zaidi »