Serikali ya awamu ya sita imeendelea kuwekeza katika sekta ya elimu kwa kutoa kiasi cha shilingi milioni 583 kwa ajili ya ujenzi wa Shule ya Sekondari Ubaruku, iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali. Mradi huu unalenga kuboresha upatikanaji wa elimu kwa vijana wa eneo hilo na kupunguza changamoto ya …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+