Maktaba ya Kila Siku: December 12, 2024

Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais imesema itaendeleakushirikiana na Nchi Wanachama wa Jumuiya ya MaendeleoKusini mwa Afrika (SADC) katika kukabiliana na athari zamabadiliko ya tabianchi katika ukanda huo

Hayo yameelezwa Desemba 11, 2024 Jijini Dodoma na NaibuKatibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais, Bi Christina Mndeme wakati wa mazungumzo baina yake naUjumbe wa Wizara ya Maliasili na Mabadiliko ya Tabianchiwa Serikali ya Jamhuri ya Malawi ulioongozwa naMkurugenzi wa Mazingira wa Wizara hiyo, Bi. TawongaMbale-Luka. Mndeme amesema mataifa …

Soma zaidi »