Nchi inaposhindwa kulinda Neema ya mazingira kwa ajili yetu na kizaji kijacho Mungu anaweza kuondosha Neema nyingine nyingi kwenye nchi. Ameahidi kumuunga mkono na yupo tayari kupokea maagizo yoyoyte ya Rais Mhe Samia Suluhu Hassan ya kulinda Mazingira.
Soma zaidi »Maktaba ya Kila Siku: December 5, 2024
Askofu Dkt Maasa OleGabriel RAIS SAMIA ANATEKELEZA MAAGIZO YA MUNGU YA KUITUNZA BUSTANI YA EDENI
Askofu Dkt. Maasa OleGabriel Katibu Mkuu Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania na Askofu wa Jimbo wa Makanisa ya International Evangelisim Arusha – Ameeleza Jinsi ambavyo Kanisa linamuunga mkono Rais Samia Katika Utunzaji wa Mazingira kama agizo la Kwanza la Mungu kwa Adamu (binadamu) kuitunza Bustani ya Edeni.
Soma zaidi »KATIBU TAWALA MKOA WA ARUSHA MISSAILE MUSA: MKOA UNANUFAIKA NA UWEPO WA MIKUTANO YA KIMATAIFA
Ameeleza kwamba Mkoa wa Arusha baada ya kufanikiwa kwenye utalii wa mali asili na Mikutano ya kitaifa na kimataifa, sasa umejipanga kuwekeza kwenye utalii wa kimatibabu.
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+