Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amemuapisha Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro kuwa Waziri wa Katiba na Sheria, kwenye hafla iliyofanyika Ikulu ndogo ya Tunguu, Zanzibar tarehe 10 Desemba, 2024.
Soma zaidi »Maktaba ya Kila Siku: December 11, 2024
Uzinduzi huu ni hatua muhimu katika kutekeleza misingi ya Katiba ya Tanzania, hasa katika kuhakikisha haki, usawa, na uwajibikaji wa kisheria
Kampeni hii si tu inaleta msaada wa kisheria bali pia inaimarisha misingi ya demokrasia na utawala bora nchini Tanzania.
Soma zaidi »“NENDA KAANZIE PALE ALIPOREKEBISHA BASHUNGWA, NA UENDELEZE WIZARA YA UJENZI VIZURI” Rais Dkt Samia
“NATARAJIA SASA KILE KITI UTAKIACHA NA UTASHUKA NA WATAALAMU KWENYE FILD UKAFANYE KAZI YAKO”
Haya ni maelekezo makini na yenye msisitizo kutoka kwa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Bi Aisha. Rais anaonyesha umuhimu wa mawaziri kushuka hadi ngazi za chini ili kushirikiana moja kwa moja na wananchi na wataalamu kwenye sekta husika, hasa katika utekelezaji wa miradi na …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+