KATIBU TAWALA MKOA WA ARUSHA MISSAILE MUSA: MKOA UNANUFAIKA NA UWEPO WA MIKUTANO YA KIMATAIFA

Ameeleza kwamba Mkoa wa Arusha baada ya kufanikiwa kwenye utalii wa mali asili na Mikutano ya kitaifa na kimataifa, sasa umejipanga kuwekeza kwenye utalii wa kimatibabu.

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *