Askofu Dkt. Maasa OleGabriel Katibu Mkuu Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania na Askofu wa Jimbo wa Makanisa ya International Evangelisim Arusha – Ameeleza Jinsi ambavyo Kanisa linamuunga mkono Rais Samia Katika Utunzaji wa Mazingira kama agizo la Kwanza la Mungu kwa Adamu (binadamu) kuitunza Bustani ya Edeni.
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+