DKT. NCHEMBA AHIMIZA USHIRIKIANO WA KIKODI NA OMAN

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), akizungumza katika kikao kifupi na Mwenyekiti wa Mamlaka ya Mapato ya Oman, Bw. Nasser Khamis Al-Jashmir, kuhusu namna ya kuimarisha ushirikiano kati ya Oman na Tanzania katika eneo la kodi ili kurahisisha ufanyaji biashara kwa faida ya nchi hizo mbili. Mhe. Dkt. Nchemba yuko katika ziara ya kikazi Muscat nchini Oman. Mazungumzo hayo yalimshirikisha pia Balozi wa Tanzania nchini Oman, Mhe. Fatma Rajab na Mkurugenzi Mtendaji wa Mipango na Sera za Kodi katika Mamlaka ya Kodi-Oman, Bw. Hamed Al-Hashmi.

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *