Uzinduzi huu ni hatua muhimu katika kutekeleza misingi ya Katiba ya Tanzania, hasa katika kuhakikisha haki, usawa, na uwajibikaji wa kisheria MatokeoChanya December 11, 2024 CCM, Matokeo ChanyA+, Tanzania, Tanzania MpyA+ Acha maoni 218 Imeonekana Kampeni hii si tu inaleta msaada wa kisheria bali pia inaimarisha misingi ya demokrasia na utawala bora nchini Tanzania. Share Facebook Twitter Stumbleupon LinkedIn Pinterest