“WATANZANIA KUANZA KUNUFAIKA NA TIBA YA MAGONJWA ADIMU KUTOKA CUBA” – Balozi Hamfrey Polepole

Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Mhe. Hamfrey Polepole, ameeleza jinsi Watanzania watakavyonufaika na matibabu ya magonjwa adimu kutoka Cuba. Tayari dawa za magonjwa hayo zimewasili nchini na kusambazwa kwenye mojawapo ya hospitali. Mpango huu utaimarisha huduma za afya na kuhakikisha tiba za kisasa kwa magonjwa kama kansa na kisukari zinapatikana.


Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *