Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Nnamdi Azikiwe Jijini Abuja nchini Nigeria leo tarehe 25 Juni 2025

Makamu wa Rais anatarajiwa kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa 32 wa Benki ya Afrexim utaokaofanyika tarehe 25-27 Juni 2025.

Unaweza kuangalia pia

“WAZEE NA WAZAZI WAACHE URITHI WA UZALENDO KWA VIJANA” – MHE, RAIS, DKT. SAMIA

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *