Rais wa Malawi, Dk Lazarus Chakwera, amewasili jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kushiriki mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika kuhusu nishati

Mkutano huo unafanyika nchini kuanzia leo Januari 27 hadi kesho Januari 28, 2025, katika Kituo cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC), jijini Dar es Salaam.

Kiongozi huyo alilakiwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango Zanzibar, Dk Saada Mkuya, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Cosato Chumi, na maofisa waandamizi wa Serikali

Unaweza kuangalia pia

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Tanzania ina umeme wa kutosha hatua ambayo imechangiwa na kukamilika kwa Miradi mikubwa ya uzalishaji umeme ukiwemo Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP) ambao pekee unazalisha Megawati 2115

Naibu Waziri Mkuu ameyasema hayo Julai 10, 2025 wakati wa ziara yake ya kukagua maendeleo …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *