Maktaba ya Kila Siku: January 28, 2025

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akifanya Mazungumzo na NaibuMkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) Bw. Bo Li

Mazungumzo hayo yalifanyika kando ya Mkutano waNishati wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Afrika unaofanyikakatika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC)

Soma zaidi »