Sekta ya kilimo nchini Tanzania inaendelea kupewa kipaumbele na serikali kwa ajili ya kukuza uchumi na kuongeza ajira. Bajeti ya Wizara ya Kilimo imeongezeka kutoka shilingi bilioni 294 mwaka wa fedha 2021/2022 hadi shilingi trilioni 1.3 mwaka wa fedha 2024/2025, ikionyesha dhamira ya serikali katika kuimarisha sekta hii muhimu. Kwa …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+