Maktaba ya Kila Siku: January 25, 2025

SAFARI YA MAENDELEO YA SEKTA YA NISHATI TANZANIA, KUTOKA 1963 HADI 2025

Tangu uhuru mwaka 1963, sekta ya nishati imekuwa mojawapo ya vichocheo vikubwa vya maendeleo ya Tanzania. Awali, nchi ilitegemea kuni, mkaa, na mafuta ya taa kama vyanzo vikuu vya nishati. Hata hivyo, hatua muhimu zimechukuliwa kufanikisha maendeleo ya sekta hii: 1. 1963-1980,Serikali ilianza uwekezaji katika miradi ya umeme wa maji, …

Soma zaidi »