Maktaba ya Kila Siku: January 20, 2025

Tanzania inaendelea kupaa kiuchumi, kijamii, na kisiasa, ikidhihirisha azma yake ya kufanikisha ndoto za maendeleo kwa ustawi wa taifa

Jitihada za makusudi kutoka kwa serikali, wadau wa maendeleo, na wananchi zimeimarisha msingi wa kujenga Tanzania yenye neema na mafanikio. Katika nyanja ya kiuchumi, miradi mikubwa ya kimkakati kama vile ujenzi wa reli ya kisasa (SGR), bwawa la kuzalisha umeme la Julius Nyerere (JNHPP), na bomba la mafuta la EACOP …

Soma zaidi »

Jimbo la Nyamagana limepokea zaidi ya Shilingi bilioni 40 kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya barabara kwa kiwango cha lami

Uwekezaji huu umewezesha kuboresha hali ya usafiri na kufanya maeneo mengi kupitika kwa urahisi, hivyo kuchochea maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwa wananchi wa jimbo hilo. Fedha hizi zimeelekezwa katika miradi mbalimbali ya ujenzi wa barabara mpya na ukarabati wa zile zilizopo, zikiwemo barabara za mitaa na za kuunganisha sehemu …

Soma zaidi »

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kuwa uwezo wa nchi kuzalisha umeme umefikia megawati 3,169.20. Kati ya kiwango hicho, megawati 3,091.7 zimeunganishwa kwenye Gridi ya Taifa, ikiwa ni sawa na asilimia 97.55 ya umeme wote unaozalishwa nchini

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TANESCO, mafanikio haya yanatokana na uwekezaji mkubwa uliofanywa na serikali kupitia miradi mbalimbali ya kuzalisha umeme. Miradi hiyo inajumuisha matumizi ya vyanzo vya maji, gesi asilia, na nishati jadidifu kama vile upepo na jua. TANESCO imeeleza kuwa maendeleo haya yanalenga kuhakikisha kuwa nchi inakuwa …

Soma zaidi »

SERIKALI ya Awamu ya Sita imetenga sh. bilioni 28.1 katika mwaka wa fedha wa 2024/2025 kutekeleza mapinduzi ya sekta ya mifugo nchini kwa kufanya kampeni ya chanjo kuhakikisha mifugo inakuwa na ubora unaohitajika kimataifa

#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan Ikulu Tanzania

Soma zaidi »

Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imeingia makubaliano na Shirika la Ndege la Uturuki (Turkish Airlines) ili kutangaza utalii wa Tanzania duniani kupitia safari za ndege za shirika hilo

Makubaliano hayo yalifanyika Januari 8, 2024, jijini Dar es Salaam, yakiwa na lengo la kuongeza idadi ya watalii na wawekezaji katika sekta ya utalii nchini. Mkurugenzi Mkuu wa TTB, Ephraim Mafuru, amesema wamechagua shirika hilo la ndege kutokana na kuwa na ndege zaidi ya 490 na kufanya safari zake katika …

Soma zaidi »