
Mhe. Mahama amepokelewa na Waziri wa Maji nchini, Mhe. Jumaa Hamidu Aweso.
Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika unawakutanisha viongozi wa nchi za Afrika, wadau wa Sekta ya Nishati na wadau wa maendeleo.
Lengo ni kuimarisha juhudi za pamoja katika kukabiliana na changamoto za nishati barani Afrika, sambamba na kupitisha Azimio la Dar es Salaam, linalodhamiria kuimarisha juhudi za pamoja za Viongozi wa Nchi na Serikali za Afrika katika kuhakikisha Afrika inaondokana na changamoto za upatikanaji wa nishati ya uhakika, nafuu, na endelevu.


Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+